Rapper Sarkodie Takes Aim at Afrobeats Giants in Diss Track
Ghanaian rapper Sarkodie has sparked reactions online after he fired shots at artists; Davido, Wizkid, and Burna Boy in his new single titled, “Brag”. Nigerians awoke to the contentious rap music released in the wee hours of Friday, May 10. Sarkodie boasted in line with the song’s theme, of selling out the O2 in 2016, well ahead of Nigerian performers Davido…
Moto wa Messi, Ageuka Lulu Marekani
Mwanasoka Nguli na kiboko kabisa kutoka Nchini Argentina, Lionel Messi amegeuka Lulu Nchini Marekani. Ukiachana na Kibunda ndefu aliyovuta kutoka kwenye Club yake Mpya Inter-Miami, Messi amegeuka Kivutio kikubwa sana kwenye soccer la Marekani ambapo Club hiyo imeongeza Idadi Kubwa sana ya Mashabiki Haswa Mastaa Wakubwa wa Marekani kiasi kwamba Tunashuhudia Mastaa wengi wakihudhuria mechi…
TikTok Bans Content Creator Who Buried Himself Alive
TikTok has taken action against the profile of Nigerian content creator, Young Cent, for burying himself alive for 24 hours. The daring act garnered widespread attention on social media, sparking both fascination and concern among viewers. Before commencing the extreme challenge, Young Cent took to his Instagram handle to confirm the authenticity of the impending…
Tanasha arudi alipoanzia
Kama ni mtu unayefuatilia, Industry ya Burudani ilianza kumjua Staa wa Kenya Tanasha Donna kupitia Uigizaji wa kwenye Video za Muziki (Video Vixen) Video ya kwanza ambayo Alionekana ilikuwa Nagharamia, Wimbo wa Ali Kiba na Christian Bella iliyotoka Miaka 7 Iliyopita. Baadae akawa Mtangazaji wa Kituo cha Radio ya NRG Nchini Kenya ambapo huko ndiko…
#NewVideo: Y.O.G – Mtaa
Baada ya kuanza vizuri kabisa na audio yake ya kwanza, huyu hapa tena Y.O.G na ngoma yake mpya, kijana kutoka Grandmaster Records huu ukiwa wimbo mahususi kabisa kuhusu mtaa anaotoka na maisha aliyopitia kufikia alipo ikiwa ni njia ya kutoa hamasa kwa vijana wenzanake kufanya maamuzi na machaguzi sahihi kwaajili ya maisha na kesho yao….