
“Tattoo za Madem zetu Tunazo” – Machalii Watundu
OOOOOI, Ulishawahi kuchora Tattoo kwa ajili ya Mtu? Kama Ndio ikitokea Mmeachana unafanyaje? Chukua hii kutoka kwa Machalii Watundu ambao wana Majina ya Ma-X wao na hawana mpango wa kuyafuta kabisa. UKIMALIZA KUTAZAMA NA KUCHEKA, DONDOSHA COMMENT YAKO, LIKE NA SHARE