Messi kama sio Genius tu, Basi ni Jini

MESSI

Kama wewe ni mmoja wa waliokuwa wanaamini Messi ndo basi tena zinanywea nyuma, Basi fikiria tena hizo fikra zako.

Pamoja na kwamba ameenda Marekani kuiiinua Ligi kuu ya Mpira wa Miguu kwa Dau kubwa ambalo wengi waliamini kule ndipo Soccer lake linaenda kuzama jua, Messi ameendelea kufanya maajabu kama kawaida yake.

Ukiacha magoli anayoyapiga na kuipaisha Club yake ya Inter Miami, Messi ameendelea pia kupiga magoli yasiyo ya kawaida (Yakufikirika.

Kwenye game yao dhidi ya Club ya Philadelphia usiku wa kuamkia leo ambapo Mchezo huo uliisha kwa Inter Miami kushida Magoli 4-1, Goli la Messi lilikuwa ni goli la ajabu ambapo alifunga akiwa umbali wa Miguu 30 mbali ya Lango la Philadelphia

CHUNGULIA UNYAMA HUO WA MESSI HAPA CHINI:-

UP