Kufuatia mafanikio makubwa ya nyimbo zake kama BUGA, COUGH, RTID & SHUPERU, Kizz Daniel ametangaza jina la albamu mpya “MAVERICK”.
Mkali wa Afrobeats, Kizz Daniel, anatazamiwa kuwapeleka mashabiki wake katika safari ya kufurahisha na albamu yake inayokuja, “Maverick.” Msanii huyo anayetambulika kimataifa, Mr. Vado The Great, amekuwa akivuka mipaka ya ubunifu katika muziki wake, na kwenye “Maverick” anaahidi kuwa Album yake Mpya hii itamuelezea yeye ni nani.
Ameweka wazi kwamba Album yake hiyo ataiachia rasmi ijumaa tarehe 28/7/2023

Katika albamu hii, Kizz Daniel anaweka wazi nafsi yake, akitoa kipande chake ambacho amekificha kwa muda.
Nikimnukuu “The only thing that kept coming to my mind when we were making this album was pretty much, I want to do what I know how to do, I want to make music the way I want to make music. For Maverick, It’s my expression, I think the inspiration about it just explained itself now. I want to give a piece of me that I have been hiding all this while.”
HII HAPA NI TRAILER YA ALBUM HIYO
NA HAYA HAPA CHINI NI MAJINA YA NGOMA ZITAKAZOPATIKANA KWENYE ALBUM HIYO: