Mo Dewji kuibwaga Simba ‘Nakata Tamaa”

Wakati Mashabiki wa Club ya Simba wakiwa na Shauku kubwa kuona ni kwa namna gani Club hiyo imejipanga katika Msimu ujao, Rais wa heshima wa Club ya Simba na Mfanyabiashara Mohammed Dewji amesema anakaribia kukata tamaa kutokana na mchakato wa mabadiliko wa Club hiyo kutokukamilika hadi sasa ikiwa ni miaka sita sasa tangu awe Mwekezaji katika Club hiyo.

Mapema leo kupitia ukurasa wake wa Twitter Mo ameandika Ujumbe Huu hapa chini:-

NINI MAONI YAKO? TUANDIKIE HAPA CHINI KWENYE COMMENT

UP