Video: Moment Davido gifts lady $50K to clear off her student loan
Famous musician, Davido stirs massive reactions online as he gifts an American female fan $50K to clear off her student loan during his US concert. The “Feel” music star held a show at Madison Square Garden on Wednesday night, April 17th where he gave the fans an amazing performance. During the show, he brought up one…
“Tattoo za Madem zetu Tunazo” – Machalii Watundu
OOOOOI, Ulishawahi kuchora Tattoo kwa ajili ya Mtu? Kama Ndio ikitokea Mmeachana unafanyaje? Chukua hii kutoka kwa Machalii Watundu ambao wana Majina ya Ma-X wao na hawana mpango wa kuyafuta kabisa. UKIMALIZA KUTAZAMA NA KUCHEKA, DONDOSHA COMMENT YAKO, LIKE NA SHARE
#NewVideo: Y.O.G – Mtaa
Baada ya kuanza vizuri kabisa na audio yake ya kwanza, huyu hapa tena Y.O.G na ngoma yake mpya, kijana kutoka Grandmaster Records huu ukiwa wimbo mahususi kabisa kuhusu mtaa anaotoka na maisha aliyopitia kufikia alipo ikiwa ni njia ya kutoa hamasa kwa vijana wenzanake kufanya maamuzi na machaguzi sahihi kwaajili ya maisha na kesho yao….
Young Killer Kajibu Diss ya Young Lunya
Kwenye Freestyle Session 5 ya Rapper Young Lunya, Kuna Lines za Mwisho kwenye Wimbo ambazo Kamchana Young Killer. Baada ya Young Killer Kusikia Alivyochanwa, kaingia Studio na Kaachia Ngoma ya Kumchana Young Lunya. Hakuna Mchezo unaofurahisha mashabiki wa Muziki wa Hip-Hop kama huu na kuthibitisha kwamba Hip-Hop inapendwa Bongo Kuanzia jana jioni Huu Mchezo wa…
Tanasha arudi alipoanzia
Kama ni mtu unayefuatilia, Industry ya Burudani ilianza kumjua Staa wa Kenya Tanasha Donna kupitia Uigizaji wa kwenye Video za Muziki (Video Vixen) Video ya kwanza ambayo Alionekana ilikuwa Nagharamia, Wimbo wa Ali Kiba na Christian Bella iliyotoka Miaka 7 Iliyopita. Baadae akawa Mtangazaji wa Kituo cha Radio ya NRG Nchini Kenya ambapo huko ndiko…
Africa Music Now Festival Kuitikisa – Arusha
Tamasha la kila mwaka la Africa Music Now linaloandaliwa na Msanii Mkongwe wa Hip-Hop Kutoka Arusha, Chindo Man, linafanyika tena mwaka huu. Tamasha hilo lenye Dhamira Kuu ya kuonyesha na Kukuza Vipaji Jijini Arusha na Tanzania kiujumla linafanyika Jumamosi hii Tarehe 29/7/2023 katika Kiwanja maarufu Arusha, Billy’s River. Pamoja na Chindo Man Mwenyewe, Wasanii wengine…
Markuba Majanaba atolewa Magereza, Anyolewa Rasta
Haya ni ya Msingi aliyoyaongea Mchekeshaji Markuba Majanaba baada ya kutolewa Magereza ambapo aliswekwa ndani baada ya kumtoa mtu Ngeu. FUATILIA HAPA CHINI KISHA TUPE COMMENT YAKO