Leicester City kumsaini Fabrizio Romano
Club ya Leicester City wameonesha nia ya dhati ya kumsajili mshambuliaji Muingereza Stephy Mavididi, 25, kutoka Montpellier.
Club ya Leicester City wameonesha nia ya dhati ya kumsajili mshambuliaji Muingereza Stephy Mavididi, 25, kutoka Montpellier.
Manchester United wameweka thamani inayotakiwa ya £50m kwa klabu inayotaka kumnunua beki wa England Harry Maguire, 30. (Manchester Evening News) West Ham wanatumai kumnunua kiungo wa kati wa England James Ward-Prowse, 28, kwa ada ya £20m lakini Southampton wanataka karibu £40m kwa ajili ya nahodha wao huyo (Mail) Wolves wanakaribia kumsajili tena beki wa pembeni…
Wakati Mashabiki wa Club ya Simba wakiwa na Shauku kubwa kuona ni kwa namna gani Club hiyo imejipanga katika Msimu ujao, Rais wa heshima wa Club ya Simba na Mfanyabiashara Mohammed Dewji amesema anakaribia kukata tamaa kutokana na mchakato wa mabadiliko wa Club hiyo kutokukamilika hadi sasa ikiwa ni miaka sita sasa tangu awe Mwekezaji…
Baada ya kuanza vizuri kabisa na audio yake ya kwanza, huyu hapa tena Y.O.G na ngoma yake mpya, kijana kutoka Grandmaster Records huu ukiwa wimbo mahususi kabisa kuhusu mtaa anaotoka na maisha aliyopitia kufikia alipo ikiwa ni njia ya kutoa hamasa kwa vijana wenzanake kufanya maamuzi na machaguzi sahihi kwaajili ya maisha na kesho yao….