Video: Moment Davido gifts lady $50K to clear off her student loan
Famous musician, Davido stirs massive reactions online as he gifts an American female fan $50K to clear off her student loan during his US concert. The “Feel” music star held a show at Madison Square Garden on Wednesday night, April 17th where he gave the fans an amazing performance. During the show, he brought up one…
#NewVideo: Y.O.G – Mtaa
Baada ya kuanza vizuri kabisa na audio yake ya kwanza, huyu hapa tena Y.O.G na ngoma yake mpya, kijana kutoka Grandmaster Records huu ukiwa wimbo mahususi kabisa kuhusu mtaa anaotoka na maisha aliyopitia kufikia alipo ikiwa ni njia ya kutoa hamasa kwa vijana wenzanake kufanya maamuzi na machaguzi sahihi kwaajili ya maisha na kesho yao….
‘After next album, I no do again’, Davido hints on retirement from music
Nigerian singer David Adeleke, popularly known as Davido, hinted on Thursday that he might not produce another album after his next one. Davido disclosed this on Thursday night while reacting to the recent pictures and videos doctored against him by some blogs. Recall that the ‘Unavailable’ crooner has been in the news lately due to…
TikTok Bans Content Creator Who Buried Himself Alive
TikTok has taken action against the profile of Nigerian content creator, Young Cent, for burying himself alive for 24 hours. The daring act garnered widespread attention on social media, sparking both fascination and concern among viewers. Before commencing the extreme challenge, Young Cent took to his Instagram handle to confirm the authenticity of the impending…
Travis Scott Kuidondosha “Utopia”
Albamu ya “Utopia” iliyosubiriwa kwa muda mrefu ya Travis Scott inaonekana kuwasili hivi karibuni huku tukio la uzinduzi wa albamu ya Utopia likitarajiwa kufanyika Cairo, Misri, kwenye Pyramids of Giza. Utopia itakuwa na kazi 5 binafsi za sanaa, vinyls, CD na maagizo ya mapema[set pre-orders]. Zaidi ya hayo, Travis pia ataperform albamu yake pia. View…
Mo Dewji kuibwaga Simba ‘Nakata Tamaa”
Wakati Mashabiki wa Club ya Simba wakiwa na Shauku kubwa kuona ni kwa namna gani Club hiyo imejipanga katika Msimu ujao, Rais wa heshima wa Club ya Simba na Mfanyabiashara Mohammed Dewji amesema anakaribia kukata tamaa kutokana na mchakato wa mabadiliko wa Club hiyo kutokukamilika hadi sasa ikiwa ni miaka sita sasa tangu awe Mwekezaji…