Man U waweka Dau kwa Club inayomtaka Maguire

Manchester United wameweka thamani inayotakiwa ya £50m kwa klabu inayotaka kumnunua beki wa England Harry Maguire, 30. (Manchester Evening News) West Ham wanatumai kumnunua kiungo wa kati wa England James Ward-Prowse, 28, kwa ada ya £20m lakini Southampton wanataka karibu £40m kwa ajili ya nahodha wao huyo (Mail) Wolves wanakaribia kumsajili tena beki wa pembeni…

Read More

Tanasha arudi alipoanzia

Kama ni mtu unayefuatilia, Industry ya Burudani ilianza kumjua Staa wa Kenya Tanasha Donna kupitia Uigizaji wa kwenye Video za Muziki (Video Vixen) Video ya kwanza ambayo Alionekana ilikuwa Nagharamia, Wimbo wa Ali Kiba na Christian Bella iliyotoka Miaka 7 Iliyopita. Baadae akawa Mtangazaji wa Kituo cha Radio ya NRG Nchini Kenya ambapo huko ndiko…

Read More

Don Jazzy reacts as Ayra Starr links up with Rihanna

Mavins Record label boss, Don Jazzy celebrates his protege, Ayra Starr, for her recent encounter with the Barbadian artist Rihanna at the Fenty Launch event in London. Don Jazzy expressed his delight in a post on his Instagram page, praising Ayra Starr for connecting with Rihanna. Despite Don Jazzy’s unanswered love for Rihanna, as she ended up marrying American rapper ASAP Rocky and having…

Read More
UP