MESSI

Messi kama sio Genius tu, Basi ni Jini

Kama wewe ni mmoja wa waliokuwa wanaamini Messi ndo basi tena zinanywea nyuma, Basi fikiria tena hizo fikra zako. Pamoja na kwamba ameenda Marekani kuiiinua Ligi kuu ya Mpira wa Miguu kwa Dau kubwa ambalo wengi waliamini kule ndipo Soccer lake linaenda kuzama jua, Messi ameendelea kufanya maajabu kama kawaida yake. Ukiacha magoli anayoyapiga na…

Read More

Don Jazzy reacts as Ayra Starr links up with Rihanna

Mavins Record label boss, Don Jazzy celebrates his protege, Ayra Starr, for her recent encounter with the Barbadian artist Rihanna at the Fenty Launch event in London. Don Jazzy expressed his delight in a post on his Instagram page, praising Ayra Starr for connecting with Rihanna. Despite Don Jazzy’s unanswered love for Rihanna, as she ended up marrying American rapper ASAP Rocky and having…

Read More

Travis Scott Kuidondosha “Utopia”

Albamu ya “Utopia” iliyosubiriwa kwa muda mrefu ya Travis Scott inaonekana kuwasili hivi karibuni huku tukio la uzinduzi wa albamu ya Utopia likitarajiwa kufanyika Cairo, Misri, kwenye Pyramids of Giza. Utopia itakuwa na kazi 5 binafsi za sanaa, vinyls, CD na maagizo ya mapema[set pre-orders]. Zaidi ya hayo, Travis pia ataperform  albamu yake pia. View…

Read More

Kim Kardashian atokewa na Mzimu

Mwanamitindo, X na babe mama wa Kanye West, Kim Kardashian ameshtushwa na Kivuli kinachomuonesha Mwanamke mwingine kwenye picha ambayo Kaipiga kama Selfie akiwa mwenyewe. Kwenye Picha hii ambayo ameipost kwenye Instagram Kim anasema ameshangaa baada ya kuiangalia picha aliyoichukua mwenyewe “Selfie” akiwa mwenyewe kuonekana kivuli cha mwanamke anayehisi ni Mzimu kwani wakati anajipiga picha hiyo…

Read More

Moto wa Messi, Ageuka Lulu Marekani

Mwanasoka Nguli na kiboko kabisa kutoka Nchini Argentina, Lionel Messi amegeuka Lulu Nchini Marekani. Ukiachana na Kibunda ndefu aliyovuta kutoka kwenye Club yake Mpya Inter-Miami, Messi amegeuka Kivutio kikubwa sana kwenye soccer la Marekani ambapo Club hiyo imeongeza Idadi Kubwa sana ya Mashabiki Haswa Mastaa Wakubwa wa Marekani kiasi kwamba Tunashuhudia Mastaa wengi wakihudhuria mechi…

Read More

Kizz Daniel Kuidondosha “MAVERICK”

Kufuatia mafanikio makubwa ya nyimbo zake kama BUGA, COUGH, RTID & SHUPERU, Kizz Daniel ametangaza jina la albamu mpya “MAVERICK”. Mkali wa Afrobeats, Kizz Daniel, anatazamiwa kuwapeleka mashabiki wake katika safari ya kufurahisha na albamu yake inayokuja, “Maverick.” Msanii huyo anayetambulika kimataifa, Mr. Vado The Great, amekuwa akivuka mipaka ya ubunifu katika muziki wake, na…

Read More

Young Killer Kajibu Diss ya Young Lunya

Kwenye Freestyle Session 5 ya Rapper Young Lunya, Kuna Lines za Mwisho kwenye Wimbo ambazo Kamchana Young Killer. Baada ya Young Killer Kusikia Alivyochanwa, kaingia Studio na Kaachia Ngoma ya Kumchana Young Lunya. Hakuna Mchezo unaofurahisha mashabiki wa Muziki wa Hip-Hop kama huu na kuthibitisha kwamba Hip-Hop inapendwa Bongo Kuanzia jana jioni Huu Mchezo wa…

Read More
UP